23/11/2022
: Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mkopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Abdul-Razaq Badru amesema Serikali imeongeza bil.84 kwa ajili ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka 2022/2023 hadi kufikia bil.654 ambayo inatarajiwa kuwanufaisha wanafunzi zaidi ya Elfu 70 wa mwaka wa kwanza.