19/01/2024
Kwa taarifa tu hawa Cape Verde walikuwa na Special Project ya 20 years ya kukuza Soccer lao wakianza na Special football Academies ambapo talented Youth Players from their teens wanawekwa ktk special academy where they are given hii elimu ya kawaida but with special emphasis on football and they went far kwa ku creat link na mawakala wakubwa wa mpra duniani wanaokuja kuwa recruit according- to their performance.Wachezaji wao toka wakiwa wadogo wanapelekwa Europe hasa France kwenda kwenye team za udder 18 then wanakuwa recruited to the senior team.
Kwa taarifa zaidi hiyo team yao ya Taifa wachezaji wote walioko huko AFCON wanacheza football ulaya nchi za France, Holland, Belgiun and Portugal to mention just the few countries.
Hii ndiyo inaitwa Scientific Approach sasa and the outcome is vividly and clearly seen.
Mpira wa kisasa hauna janja janja wala longo longo.
Hiyo ndiyo mikakati na ndiyo wenzetu wanafanya ktk kuwaandaa footballers wa baadaye.They started from the lower levels tangu wako watoto.
Hata sisi Tanzania tukiamua tunaweza k**a Cape Verde wanaweza ila ni kitu kinataka commitment na uwekezaji serious.
Ghana na ukubwa wake ktk soccer alifungwa mbili vizuri tu na Cape Verde majuzi