10/01/2020
Usiitembeze gari hadi kilometa za service zikapitiliza ni hatari kwa afya ya gari baadhi ya madhara unayoweza kupata ni pamoja na. - Gari kukosa nguvu (Pulling)⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
- Gari kutoa moshi mwingi(Smoke)⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
- Injini itapata madhara ambayo yanaweza kupelekea kunoki.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Karibu Jeri Car Services tukuhudumie kwa utaalam na pia tutakushauri jinsi ama namna nzuri ya kutumia gari lako.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Tunapatikana Shekilango Rd pembeni ya haongera baa,karibu na chuo cha Ustawi wa jamii, Bamaga,Dar es salaam.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Gari yako ni service,usifanye service kwa mazoea weledi unahitajika.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
0757999904