01/05/2022
Wakati huu ambapo bei za mafuta zimepanda ni wakati wa kuchagua kutumia nishati mbadala kwenye gari lako. Funga mfumo wa gesi asilia kwenye gari lako ili unufaike.
1. Gesi asilia haipandi bei kiholela maana inapatikana hapa nchini
2. Bei ya kilo moja ya gesi asilia inakupa umbali zaidi ukilinaganisha na mafuta
3. Gesi asilia ni bei nafuu zaidi kuliko mafuta, si zaidi ya Tsh 1600 kwa kilo
Gari inakuwa na mifumo miwili ya nishati yaani gesi na mafuta
4. Utaokoa pesa zaidi ya asilimia 40 katika matumizi ya mafuta
Utalunguza utegemezi wa mafuta kwa taifa ambayo yanaongeza gharama za maisha kila bei ya mafuta inapopanda