Mr alhamdu professional of cars aircondition

Mr alhamdu professional of cars aircondition Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mr alhamdu professional of cars aircondition, Ilala bungoni/msaada garage, Dar es Salaam.

❄️Auto Ac spacialist•ilala bungoni Dsm
🔧Installation•Cleaning• Repairs
🚗your car our cool
📍57C3+GH7-Google map
☎️Dm via whatsapp

http://wa.me/255789424140

57C3+GH7,

🚗❄️ USIBADILISHE COMPRESSOR PEKEE! ❄️🚗Wateja wengi wanarudi kwa fundi baada ya muda mfupi wakisema👉 “AC imekufa tena”Sab...
23/12/2025

🚗❄️ USIBADILISHE COMPRESSOR PEKEE! ❄️🚗

Wateja wengi wanarudi kwa fundi baada ya muda mfupi wakisema
👉 “AC imekufa tena”

Sababu kubwa ni hii 👇
🔴 Compressor ikifa hutoa uchafu (metal particles)
🔴 Uchafu unaziba condenser
🔴 Ukifunga compressor mpya bila kubadilisha condenser
➡️ Compressor mpya inaheat na inaharibika tena

✅ KAZI SAHIHI YA KITAALAMU
✔️ Kubadilisha compressor
✔️ Kubadilisha condenser (hasa parallel flow)
✔️ Kuflush system vizuri
✔️ Kubadilisha receiver drier
✔️ Oil & gas kwa kiwango sahihi

💯 Hii ndiyo sababu AC zetu hudumu na baridi inakuwa kali

📍 Usiweke pesa yako hatarini
📞 Wasiliana na fundi mtaalamu leo.✍️

😅 Huyu panya alijisahau akaingia kwenye mfumo wa AC akafanya makazi yake ndani ya blower fan!Matokeo yake — kelele kali ...
06/11/2025

😅 Huyu panya alijisahau akaingia kwenye mfumo wa AC akafanya makazi yake ndani ya blower fan!
Matokeo yake — kelele kali k**a ndege ndani ya dashboard 🐀🔊

Lakini “Mr Alhamdu Professional of Cars Aircondition” hatupigi kelele, tunapiga kazi! 💪🏾❄️

✅ Tatizo: Blower inatoa kelele kubwa
🔧 Sababu: Panya + uchafu kwenye blower
🚗 Suluhisho: Kusafisha system, kurekebisha intake air, na kurudisha baridi safi k**a mpya!

Sababu Kuu 5 za Kwanini AC ya Gari Inashindwa Kupooza Vizuri:❄️ 1. Upungufu wa gesi ya AC (Refrigerant)– Gesi ikipungua,...
12/07/2025

Sababu Kuu 5 za Kwanini AC ya Gari Inashindwa Kupooza Vizuri:

❄️ 1. Upungufu wa gesi ya AC (Refrigerant)
– Gesi ikipungua, AC inashindwa kutoa baridi ya kutosha.

🧊 2. Evaporator imeziba kwa vumbi au uchafu
– Inazuia upepo baridi kufika vizuri ndani ya gari.

⚠️ 3. Compressor haina nguvu au imeharibika
– Bila compressor kufanya kazi ipasavyo, mzunguko wa baridi unakatika.

🧼 4. Cabin filter chafu
– Filter ya ndani ikiwa imejaa vumbi, hewa haipiti vizuri.

🔌 5. Tatizo la umeme (Sensor, switch au fuse)
– Hujenga matatizo ya kuwasha/kuzima AC au kufanya kazi bila baridi.



Angalizo⚠️
Ukiona AC yako haipoozi vizuri, usikawie – tatizo dogo linaweza kugeuka kubwa. Muone fundi kutibu tatizo la gari yako.

Brand new BMW X3 AC compressor 💥Ubaridi wa kweli unaanzia hapa❄️🔧 Ready for installation📍Ilala Bungoni –  📱 DM or WhatsA...
08/07/2025

Brand new BMW X3 AC compressor 💥
Ubaridi wa kweli unaanzia hapa❄️
🔧 Ready for installation
📍Ilala Bungoni –
📱 DM or WhatsApp now

🔧 Brand New Discovery 3 AC Compressor!Hakuna kelele, hakuna joto — baridi safi k**a ulivyoagiza kutoka UK 🇬🇧✅ Imara✅ Kim...
08/07/2025

🔧 Brand New Discovery 3 AC Compressor!
Hakuna kelele, hakuna joto — baridi safi k**a ulivyoagiza kutoka UK 🇬🇧

✅ Imara
✅ Kimya
✅ Performance ya hali ya juu
✅baridi k**a barafu
📍 Ilala Bungoni
📞 DM au WhatsApp kwa installation 👇
wa.me/255789424140

❄️🚘

Compressor nyingi za Forester SH huwa zinapiga kelele baada ya muda mfupi.Hii unayoiona ni mbadala bora — tuliyoweka kwa...
06/07/2025

Compressor nyingi za Forester SH huwa zinapiga kelele baada ya muda mfupi.

Hii unayoiona ni mbadala bora — tuliyoweka kwa mteja ili kuondoa kabisa tatizo la kelele.

✅ Haina kelele
✅ Pressure iko sawa
✅ Poozing safi k**a barafu ❄️

Tunafanya replacement kwa uangalifu na ufanisi wa hali ya juu.

📍 Ilala, Dar es Salaam
📲 WhatsApp 👉 wa.me/255789424140
Your car, our cool.

Cabin filter
07/10/2024

Cabin filter

Hili ni tatizo kubwa linalowakuta watu wengi wanao miliki magari Chanzo cha hili tatizo ni kuto kuzingatia usafi wa(cabi...
01/10/2024

Hili ni tatizo kubwa linalowakuta watu wengi wanao miliki magari Chanzo cha hili tatizo ni kuto kuzingatia usafi wa(cabin filter). Embu tuambie mara ya mwisho lini ulisafisha au kubadilisha cabin filter.

Siwezi kumlaumu huyu boss wangu kwa hiki kilichomkuta inawezekana alikuwa hajui kwamba kuna kitu kinaitwa (cabin filter)...
09/09/2024

Siwezi kumlaumu huyu boss wangu kwa hiki kilichomkuta inawezekana alikuwa hajui kwamba kuna kitu kinaitwa (cabin filter). Tujitaidi sana kila baada ya mwezi tuwe tunasafisha (cabin filter) kwa sababu barabara zetu sio nzuri zina vumbi mnoo.

Address

Ilala Bungoni/msaada Garage
Dar Es Salaam
0000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr alhamdu professional of cars aircondition posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share