Superdoll Michelin Tanzania

Superdoll Michelin Tanzania For every road condition, Superdoll has the right tyre for you.

SUPERDOLL HATUTAKI FEKI SISI!!.Wataalam wetu wa   wakiwa pamoja na mgeni rasmi naibu waziri wa viwanda na biashara, Mhe....
18/07/2024

SUPERDOLL HATUTAKI FEKI SISI!!.
Wataalam wetu wa wakiwa pamoja na mgeni rasmi naibu waziri wa viwanda na biashara, Mhe. Exaud S. Kigahe , wakimfafanulia kwa vitendo na kumwonyesha tofauti iliyopo kati ya bidhaa halisi (original) na bidhaa bandia(fake) kwa vitendo, kwenye maadhimisho ya kimataifa ya siku ya kudhibiti bidhaa bandia duniani yanayofanyika kitaifa Mlimani City, Dar Es Salaam, leo 18 July 2024.

Wataalam wetu  wa   waliojaa maarifa wakiwa wamejiandaa vikali kukabiliana na kudhibiti bidhaa feki duniani kwenye maadh...
18/07/2024

Wataalam wetu wa waliojaa maarifa wakiwa wamejiandaa vikali kukabiliana na kudhibiti bidhaa feki duniani kwenye maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kudhibiti bidhaa bandia duniani yanayofanyika Mlimani City, Dar Es Salaam leo 18 July 2024.

UBORA, UWEZO, UTHAMANI, UMARIDADI, UMAKINI, NA UBUNIFU WAPATIKANA SUPERDOLL PEKEEEEE!!!Jipatie tairi za   pilot sport 4 ...
16/07/2024

UBORA, UWEZO, UTHAMANI, UMARIDADI, UMAKINI, NA UBUNIFU WAPATIKANA SUPERDOLL PEKEEEEE!!!
Jipatie tairi za pilot sport 4 zenye warranti ya miaka mitano na zinazodumu zaidi ya miaka nane kutoka Tanzania

MWENDO NI ULEULE!!!Kwa ubunifu mpya! material mapya! na teknolojia mpyaaaa!!! tumekuletea mwamba BF Goodrich Ko2 asiyezu...
15/07/2024

MWENDO NI ULEULE!!!
Kwa ubunifu mpya! material mapya! na teknolojia mpyaaaa!!! tumekuletea mwamba BF Goodrich Ko2 asiyezuiliwa na kitu chochote. Karibu tukuhudumie.

11/07/2024

Kweli inatisha kila idara. Hata Zuchu haoni ndani kwa Mr. Michelin

  bado tunaendelea kuwahudumia wateja wetu kwa ukarimu wa hali ya juu katika banda letu la  . Njoo ujipatie matairi ya  ...
08/07/2024

bado tunaendelea kuwahudumia wateja wetu kwa ukarimu wa hali ya juu katika banda letu la . Njoo ujipatie matairi ya **us na , tunazo forklifts za za umeme na diesel. Pia tunazo compressors za umeme na mafuta kutoka , tunazo generator za generator zenye uwezo wa hali ya juu. Tunazo kutoka k**a vile wheel aligners, wheel balancers, tyre changers za magari yote. Lakini pia tunazo spareparts za magari yote yaliyoko duniani k**a vile spare parts kutoka . Karibu sana ndani ya banda letu tupo karibu na ofisi za TRA ndani ya tukitazamana na Azam. Karibu sana!!

  hatujaacha, bado tunaendelea kuwahudumia wateja wetu wapendwa. Karibu kwenye banda letu la   lililopo   Dar es salaam,...
07/07/2024

hatujaacha, bado tunaendelea kuwahudumia wateja wetu wapendwa. Karibu kwenye banda letu la lililopo Dar es salaam, karibu kabisa na jengo la TRA ujipatie huduma na bidhaa mbalimbali, chini ya wataalam wenye ubobevu wa hali ya juu. Ndani ya banda letu la tunayo matairi ya aina zote - makubwa kwa madogo, tunazo forklifts za umeme na diesel, tunazo compressor za umeme na Diesel, tunazo generator za aina zote ndogo na kubwa. Tunazo spare parts za magari yote makubwa kwa madogo. Kiufupi karibu superdoll ujipatie vitu vilivyo bora.

Uongozi wa Superdoll pamoja na wafanyakazi wake wote, tunakutakia sikukuu njema ya sabasaba.Tufanye biashara kwa ajili y...
07/07/2024

Uongozi wa Superdoll pamoja na wafanyakazi wake wote, tunakutakia sikukuu njema ya sabasaba.Tufanye biashara kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu.

  ,tunaendelea kuwahudumia wafalme wetu na malkia wetu ambao ni wateja wetu wapendwa. Karibu kwenye banda letu la   kari...
06/07/2024

,tunaendelea kuwahudumia wafalme wetu na malkia wetu ambao ni wateja wetu wapendwa. Karibu kwenye banda letu la karibu kabisa na jengo la TRA ujipatie huduma na bidhaa mbalimbali, chini ya wataalam wenye ubobevu wa hali ya juu. Ndani ya banda letu la tunayo matairi ya aina zote - makubwa kwa madogo, tunazo forklifts za umeme na diesel, tunazo compressor za umeme na Diesel, tunazo generator za aina zote ndogo na kubwa. Tunazo spare parts za magari yote makubwa kwa madogo. Kiufupi karibu superdoll ujipatie vitu vilivyo bora.

  ,mteja kwetu ni mfalme. Karibu kwenye banda letu la   karibu kabisa na jengo la TRA ujipatie huduma na bidhaa mbalimba...
04/07/2024

,mteja kwetu ni mfalme. Karibu kwenye banda letu la karibu kabisa na jengo la TRA ujipatie huduma na bidhaa mbalimbali, chini ya wataalam wenye ubobevu wa hali ya juu. Karibu sana.

  wishing all the  American Nationals  a very and happy independence day.
04/07/2024

wishing all the American Nationals a very and happy independence day.

Ni mwezi mpya na Superdoll . Karibu Superdoll Michelin Tanzania  ujipatie matairi ya magari makubwa na madogo ya Micheli...
01/07/2024

Ni mwezi mpya na Superdoll . Karibu Superdoll Michelin Tanzania ujipatie matairi ya magari makubwa na madogo ya Michelin. Tairi zetu zina warranti ya miaka mitano na zinadumu zaidi ya miaka nane. Karibu sana







Address

14 Nyerere Road
Dar Es Salaam
16541

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 13:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Superdoll Michelin Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Superdoll Michelin Tanzania:

Share