21/10/2023
"Vifaa Muhimu Unavyopaswa Kuanavyo Kwenye Gari Lako"
π οΈ
Ewaaaa !!. Sasa baada ya kununua na kumiliki ndinga Yako. Nikaona si vibaya nika share na wewe mambo haya muhimu.
_Jambo_ la _:-
1. Hakikisha una JUMPER wire...
Hii ni ni kati ya kifaa Muhimu sana kuanacho , hutumika kwa ku boosting battery Yako k**a ipo down au imeisha nguvu .
..Itakusaidia kupata msaada kwa urahisi...
2. Triangle ( reflector)
Kwa wengi wetu tumezoea ni triangle πhii bwana unashauriwa uwenazo zaid ya Moja itakusaidia k**a umepata tatizo kwenye barabara yenye magari mengi au kwenye Kona Mtu akakuona.
Kwa wepesi Kwa sababu utakua umeweka Kila Moja kwa distance ( umbali ) wa Mita 15 -20.
3. Vile vile... unatakiwa uwe na ...fire extinguisher...
Nikifaa Muhimu kitakacho kusaidia kuzima moto pale utakapo jitokeza either kwa short ya umeme au kwa mazingira ya nje , n.k .
4. Life serving HAMMER
Hii pia ni aina ya kifaa muhimu , chenye mfano wa nyundo ila ina ka ncha kwa mbele kitakacho kusaidia k**a nikupasua kioo wakat hatar inatokea...
..Sababu hatar k**a hizo milango hua inaji lock na kupelekea Mtu kushindwa kujiokoa...
5 . Kitu Cha Tano na Cha Muhimu unatakiwa uwe na HOOK pamoja na KAMBA...
..Kwa ajili ya kukuvutia saa utakapo kua umekwama kwenye visiki au madimbwi...
6. Jambo la mwisho kwa Leo unatakiwa uwe na π¦
..Torch yenye mwanga angavu yenye water proof ili kizuia kuingiza maji nyakat za mvua...
"Ni hayo tu kwa Leo tukutane tena juma lijalo"
Tuandikie Hapo Chini, Ni Jambo Gani Unatamani Tukufungulie Kwenye Gari, na ULIFAHAMU...