02/01/2024
Zimepita Stand Up Comedy Show Nyingi Lakinii Hii itakuwa Ya Kihistoria...🔥🔥
Ni Yule Yulee Mkali Wa Hizi Kazi akishirikiana Sambamba na Wasanii Wa Comedy Nchini Wanakuletea TANZANIA INACHEKA
Tutapita Mikoa Tofauti Tofauti Tukianzia Na Dar Es Salaam, Morogoro,Dodoma, Arusha, Mbeya na Mwanza
Ewee Mfanya Biashara, Kampuni na Taasisi Zote Unakaribishwa Kushiriki Nasi Kwa Kununua Ticket ya EXECUTIVE TICKET, Ambapo Utapata Fursa Ya matangazo ya biashara yako kwa bei rahisi Kabisaa, ambayo utapata yafuatayo;
1:Tutakutengenezea tangazo la video
2:Tutafanya Instagram posting
3:Tutakutangaza wakati wa press conference
4:Tutakutengenezea poster ambayo itaeleza ushiriki wako
5:Utapata nafasi siku ya event kufanya biashara
6:Tutaweka banners zako siku ya event
Kwa Mawasiliano Zaidi, Kuhusu Utaratibu na Maelekezo Zaidi Wasiliana Nasi Kupitia
+255 763 935 224
+255 676 566 946
Asante 🙏