AM Auto_Cars Garage

AM Auto_Cars Garage Automotive car services repairs and maintanance

Je, Unafahamu?  (battery)N40, N50, N70, N120, na N150■Zote hutoa   12 za nishati ya umeme ila voltage hizo hutofautiana ...
09/07/2022

Je, Unafahamu?
(battery)
N40, N50, N70, N120, na N150
■Zote hutoa 12 za nishati ya umeme ila voltage hizo hutofautiana nguvu kulingana na size.


■Kitaalam N40 na 50 kwa gari ndogo.
N70 kwa magari ya kati k**a pick up
N120 na 150 kwa magari makubwa .

FANYA YAFATAYO ULINDE GARI LAKO.Kuhakikisha usalama na kulinda gari lako     ni kitu muhimu sana. Hivyo utaweza kulifany...
04/07/2022

FANYA YAFATAYO ULINDE GARI LAKO.

Kuhakikisha usalama na kulinda gari lako ni kitu muhimu sana. Hivyo utaweza kulifanya gari kuonekana jipya hata k**a umelitumia miaka 10. Kuna vitu ambavyo unaweza kufanya mara kwa mara ili gari lidumu zaidi.
■Badilisha mafuta ya injini : Kitaalamu unashauri ubadili kabla ya kilometa hazijaisha kabisa mfano uliyoweka inasoma kilometa 3000 badili baada ya 2500 au 5000-4500 hii itakusaidia kutunza injini kwa muda mrefu zaidi ya miaka 5 bila kufanya pia usisahau na kukagua leakage kwenye injini mara kwa mara.

■Badilisha maji ya breki: mara moja kwa mwaka , pia vizuri kutunza mfumo wa breki kwa usalama.

■Ilinde na jua: joto na mionzi ya jua zinachangia kuharibika kwa rangi na muonekano wa gari kwa nje, pia inaweza kuharibu plastiki ndani ya gari.

■Tunza mfumo wa kuhifadhi baridi: kwa nchi yenye joto mfumo huu ni muhimu sana.

■Usafi: wengi hua mnaangalia sehemu zinazoonekana kiurahisi, tunasahau kusafisha chini ya gari.
■Tunza rangi ya gari
■Endesha vizuri gari.

Address

Ilala Bungoni, Mohavuge Street
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:30 - 18:00
Tuesday 08:30 - 18:00
Wednesday 08:30 - 18:00
Thursday 08:30 - 18:00
Friday 08:30 - 18:00
Saturday 09:00 - 16:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AM Auto_Cars Garage posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share