24/09/2024
FAHAMU KUHUSU BOMBA LA MOSHI LA GARI.
(SHARE NA RAFIKI AJIFUNZE π)
Hivi umeshawahi kujiuliza kuwa bomba la kutoa moshi linakazi gani nyingine ukiachilia mbali na kutoa moshi?
Umeshawahi kusikia sauti au muungurumo wa gari ambalo bomba lake limepasuka au kutokea leakage.
Huwa inakuwa inapiga kelele sana na kutoa muungurumo mkali unaokela.
Baada ya kuziba sehemu hiyo ilio pasuka umeshawahi kujiuliza ile sauti huwa inaenda wapi?
Fahamu sauti inapotokea:
Sauti hii huzalishwa na pistoni pamoja na valve ambazo zipo ndani ya injini ya gari lako. Hii sauti huwa ni kubwa mno na hutoka ikiwa na msumumo wa moto.
Hivyo wataalam wakaumizaa kichwa na kutafakari kuwa ni jinsi gani watadhibiti hili? Ndio wakaja na wazo la bomba la kutoa moshi (exhaust pipe).
Bomba hili sio bomba tu bali limeundwa Kwa material ambayo yanaweza kuhimili moto. Pia bomba hili limeundwa na vyumba maalumu kwaajili yaku hakikisha linacontrol sauti hii inayozalishwa na kuishusha mpaka kiwango cha mwisho ambacho hakiwezi kuumiza masikio au kukukera.
Ndio maana Leo hii mtu anaweza park gari dirishani kwako saa 8 usiku na usisikie k**a kuna gari imeegeshwaππ.
Je ni vitu gani vinafanya kazi hiyo? Maana wengi wameshazoea kuwa kwenye bomba la moshi kuna masega pekeyake.
Katika bomba la moshi kuna vitu vifuatavyo:
β’ MUFFLER
β’ PERFORETED PIPE
β’ RESONANCE CHAMBER
β’ RESONATOR
β’ Muffler
Wakati sauti kubwa yenye pressure ya moto hutolewa na injini husukumwa mpaka katika chumba hiki cha muffler. Baada ya kifika hapo huwa inasambaazwa na ikishasambazwa huingizwa katika perforeted pipe.
β’ Perforeted pipe
Hii kazi yake nikucontrol mawimbi ya sauti kwa kuyabadilisha katika njia ya hasi na chanya . Yaani wakati hewa inapita katika pipe hizi huwa inavuja( leak) ndani ya chamber ya mufla na kufanya mzunguko pamoja na sauti kupungua. Ikitoka hapo inaingia katika resonance chamber.
β’ Resonance chamber
Kazi yake ni kufanya sauti ijizungushe zaidi wakati inatafuta pakutokea nakujikuta imesha punguzwa makali nakuwa na mtiririko wenye UTULIVU.
CHRISTIAN MAGARI COMPANY
In Jesus We Trust